Revelation of John 2:18

Kwa Kanisa Lililoko Thiatira

18 a “Kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika:

“Haya ndiyo maneno ya Mwana wa Mungu, ambaye macho yake ni kama mwali wa moto na ambaye miguu yake ni kama shaba iliyosuguliwa sana.
Copyright information for SwhNEN